Nafasi Ya Matangazo

August 30, 2014

Kiungo mpya wa tumu Manchester United ya Uingereza  Muargentina Angel di Maria (juu) akiwania mpira dhidi kiungo wa timu ya Burnley , Dean Marney wakati wa mechi Ligi ya Uingereza iliyopigwa leo katika uwanja wa Turf Moor uliopo Kaskazini-Magharibi mwa Uingerez. Man U ililazishwa sare ya 0-0 na timu hiyo. 
Posted by MROKI On Saturday, August 30, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo