Nafasi Ya Matangazo

July 30, 2014


Watu zaidi ya 17 wamepoteza maisha leo katika eneo la Panda Mbili Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma  baada ya gari walilokuwa wakisafiria mali ya Kampuni ya Morobest lenye namba za Usajili T258 AHV lililokuwa likitokea Mpwapwa Mkoani Dodoma kwenda Jijini Dar es Salaam.

Chanzo cha ajali hiyo ni lori la mizigo lililokuwa likilipita gari lingine  na kugongana uso kwa uso na basi hilo na kusababisha vifo hivyo.

 Photo: Dodoma Yetu Blog.
Posted by MROKI On Wednesday, July 30, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo