Nafasi Ya Matangazo

September 23, 2012

 Malkia wa Redd's Miss Tameke 2012, Edda Sylvester (katikati), akiwa na mshindi wa pili Flavian Maeda (kushoto), pamoja na Catherine Masumbigana aliyeshika nafasi ya tatu katika kilele cha mashindano hayo, Ukumbi wa PTA Sabasaba, Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo. 

 Mwandaaji wa mashindano ya Redd's Miss Temeke 2012, Benny Kisaka wa Kampuni ya BMP Promotions, akitangaza washindi watatu wa mashindano hayo.

 Baadhi ya wapenzi wa urembo wakipiga picha za washindi wa mashindano hayo.

 Warembo watano, walioingia tano bora wakiwa wamepozi baada ya kutangazwa na majaji wa shindano la kumsaka Malkia wa Redd's Miss Temeke, ukumbi wa PTA Sabasaba, jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo. Kutoka kushoto ni Jesca Haule, Flavian Maeda, Catherine Masumbigana, Edda Sylvester na Agness Gudluck.

Wasanii wa bendi ya Mashujaa, wakitumbuiza wakati wa shindano hilo, ukumbi wa PTA, Viwanja vya Sabasaba, Kilwa Road, jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
Posted by MROKI On Sunday, September 23, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo