Nafasi Ya Matangazo

June 30, 2012

 Redds Miss Ubungo 2012, Irine Sizari, akipunga mkono kwa furaha mara baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa shindano hilo na kuwabwaga warembo wengine 14 usiku huu katika Ukumbi wa Land Mark Hotel jijini Dar es Salaam.
 Redds Miss Ubungo 2012, Irine Sizari (katikati) akipunga mono baada ya kuvukwa taji hilo na kupata tiketi ya kushiriki Miss Kinondoni 2012. Kushoto ni Mshindi wa Pili, Mwantumu Mustafa na kulia ni Mshindi wa tatu, Antonia Nyaragwinda. Shindano hilo limefanyika Juni 29, 2012 kuamkia Juni 30.
  Redds Miss Ubungo 2012, Irine Sizari (katikati) akipunga mono baada ya kuvukwa taji hilo na kupata tiketi ya kushiriki Miss Kinondoni 2012. Kutoka Kushoto ni Mshindi wa Tano, Joyce Raphael, Mshindi Pili, Mwantumu Mustafa, , Mshindi wa tatu, Antonia Nyaragwinda na kushoto ni Mshindi wa nne Wema Mwanga. Shindano hilo limefanyika Juni 29, 2012 kuamkia Juni 30.
 Kamati ya Miss Tanzania na warembo wa mawaka 2011 wakipiga picha na washindi
 Jaji Mkuu, Christina Manongi 'Sinta" akisoma majina ya washindi.
 Wadau wakifuatilia shindano
 Meza kuu iklifuatilia shindano
 Vimwana wa Miss Sinza inayotaraji kufanyika July 20.
Wanenguaji wa Kundi la FM Academia wakisakata ngoma za Bendi hiyo.
Posted by MROKI On Saturday, June 30, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo