Nafasi Ya Matangazo

March 31, 2012

 Marafiki wa Wema Sepetu wakijaribu kumbembeleza wakati akimwaga chozi... huku watu wengine wakishangilia na kuimba aibu yetu au aibu yao???
 ...hapa mwanadada akijaribu kubembeleza bila matumaini.
 Msanii wa kizazi kipya, Ommy Dimpozzz akimpa sapoti Diamond...huku akitoa ushuhuda wa maisha yake na    ya Diamond walipotoka.
 ...baada ya ujumbe wa Ommy Dimpozz, Diamond alimwaga chozi na hapa 
 alikuwa akijifuta. Picha zaidi ingia http://kajunason.blogspot.com/
Posted by MROKI On Saturday, March 31, 2012 7 comments

7 comments:

  1. WEMA HATA ASILIE HUYO JAMAA NI LIMBUKENI MY DADA NIMREMBO SANA SO AMPOTEZEE NA AWAZOEE TU HAO WALIMWENGU WASIO KUWA STAA YA MIDOMO

    ReplyDelete
  2. pole zako diamond na huo ni ushamba kutunzwa ni kitu cha kawaida iweje ukatae sababu ya madem zako wapya????? Kuwa wewe acha utoto..........

    ReplyDelete
  3. e bana demu ndo snitch! jembe lilimwonya mara kibao kuhusu issue ya magazeti yeye akakomaa nayo! so jembe likamtosa, she must be a BITCH!!

    ReplyDelete
  4. wote vimeo, huyo wema ndo kabisa mtu mwenye akili timamu hawezi kuwa na mtu ka wema "punching bag la wachovu na wasio na fikra" Diamond nae kimeo yaaani nilikuwa namuamini lkn baada ya kusikia yuko na wema hata CD zake nikavunja.stupid kabsaaaaa

    ReplyDelete
  5. watanzania achaneni na wema na dioam kwan wamekua kideo cha watanzania had kichefuchef saiz mm nkisikia

    ReplyDelete
  6. DIOMOND UCPOANGALIA UTASHUKA KI SANAA,MAPENZI UMEWEKA MBELE WEMA NDIE AKUPENDAE KWA DHATI

    ReplyDelete
  7. wasahau yaliyo pita wagange yajayo,kuna leo na kesho,bifu halina maana tuishi kwa upendo jamani

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo