Nafasi Ya Matangazo

February 08, 2012

Mshindi wa pili wa kitita cha shilingi milioni 50 wa promotion ya Mzuka wa Airtel Bi Hadija Omary Issa (kushoto) akikabidhiwa fomu ya udhibitsho wa malipo ya fedha zake na Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Airtel Jane Matinde , baada ya kuibuka mshindi wa pili wa promotion hiyo ambayo inaendelea kwa wateja wa Kampuni ya Airtel Tanzania.Makabidhiano hayo yalifanyika jana katika ofisi kuu ya Airtel Tanzania.
Posted by MROKI On Wednesday, February 08, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo