Kaimu Kamanda wa Jeshi la pamoja la kulinda amani la Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika katika Jimbo la Darfur (United Nations African Mission in Darfur (UNAMID) nchini Sudan Meja Jenerali Duma Ndutyana akikagua gwaride wakati sherehe za kuvisha nishani amani ya UN kwa kikundi cha JWTZ cha TANZBATT-1, kushoto kwake ni Kamanda wa gwaride hilo Kapteni Francis Justine Jabu.
Kaimu Kamanda wa Jeshi la pamoja la kulinda amani la Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika katika Jimbo la
Sehemu ya Wanajeshi wa JWTZ walioshiriki kwenye gwaride la sherehe za kuvishwa nishani ya amani ya UN kwa kikundi cha TANZBATT-1lililofanyika Darfur nchini
0 comments:
Post a Comment