Mabango ya Hamasa ya kuwataka wananchi nawao kusema NDIO kama viongozi wa Juu wa Zanziubar walivyosema.
Wakazi wa Zanzibar wakipita katyika moja ya mitaa ya Mji Mkongwe Zanzibar ambao kuta zake nyingi zimepambwa na mabango ya Kura za Maoni ya Serikali ya Mseto ambayo inapigwa Kesho July 31 2010.
Wakazi wa Zanzibar wakipita katyika moja ya mitaa ya Mji Mkongwe Zanzibar ambao kuta zake nyingi zimepambwa na mabango ya Kura za Maoni ya Serikali ya Mseto ambayo inapigwa Kesho July 31 2010.
asante kwa picha lakini naona hapo shamhuna ajafurai na dr bilali kupiga kura ya ndio.
ReplyDelete