Nafasi Ya Matangazo

April 25, 2010

Mdau Johnson Mshana wa Bank M jana alimeremeta baada ya kufunga pingu za maisha na Bi Patricia Komnanya sasa Mrs Mshana.Ndoa takatifu ilifungwa katika Kanisa la KKKT Mbezi Beach na baade Mpunga ukaliwa kiwanja cha Mlimani City.

wageni waalikwa na marafiki wa karibu na bwana harusi wakiwa ukumbini...
marafiki wengi walikuwepo...
Wafanyakazi wenzake na bwana harusi walikuwepo...
ilipendeza ...
Wadau wa Bank M wakiwa shughuhulini...
Wadau Mpinga toka Zantel na Bi Nkini toka Precision Air hawakukosekana...
Wapo waliosafiri kama Mdau wa AICC (shoto) Rodney hapa akichart na Mzee wa sheria Omega Ngole.
nami niliungana nawadau tukalamba hii ...
Kamati Tendaji ilioongozwa na CEO wa Kamati hii Kyaruzi aliyeshika kadi kulia.
wakubwa nao walimuunga mkono.
Hapa kuna makapela sugu ambao kamati hii haitafunjwa kwaajili yao , Emma, Rodney na mzee wa PSI. CEO Kyaruzi tuwatendee haki hawa.
sasa ni rumba hadi majogoo.


Digital Photos by
MD Digital
+255 755 373999/+255 717 002303
Posted by MROKI On Sunday, April 25, 2010 4 comments

4 comments:

  1. JMO hapo upo Bwaksi ile kinomi, Mark na Faza Kidevu naona mnawakilisha na bwana harusi

    ReplyDelete
  2. nimewapenda hao makapela,,
    sasa mnatimizaje haja zenu???

    kuoa ni baraka jamani tafuteni wake

    afu bi harusi anafanya kazi wapi?

    ReplyDelete
  3. hellooo RODNEY

    how r you?so uko A-town naja

    ReplyDelete
  4. So beautiful, mmependeza sana. Mungu awajalie maisha mema yenye Amani, Upendo na Faraja.
    HONGERENI SANA.
    Bibi harusi tumemaliza wote hapo Chuo cha mjini kuliko vyote.
    Hi Rodney!!!!!!!Mambo yako?

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo