HABARI KUTOKA MWANZA ZINASEMA NDEGE YA ABIRIA IMEPATA AJALI WAKATI IKITUA NA KUSEREREKA KWA UMBALI MREFU. BADO HABARI KAMILI ZA AJALI HIYO NA KAMA KUNA MAJERUHI AU LAA. BLOGU YA WATU ITAPASHA ZAIDI JUU YA TUKIO HILO.Picha hii haihusiani na tukio hilo.
asante sana kwa taarifa hii ingawa si taarifa si nzuri kwani tunakakiwa kusikia habari njema NA MBAYA
ReplyDelete