Jana nilifanya ziara ya siku moja ya kushtukiza katika jiji la Mwanza na hatimaye kufika katika sanamu hii ya Sangara na kupiganayo picha hasa kutokana na umaarufu wa sanamu hiyo kwa sasa jijini hapa.
Awali mawe haya ndio yalikuwa gumzo kubwa jijini Mwanza lakini Sangara yule sasa anapendezesha jiji la mwanza na kuwavutia wageni na wenyeji.
0 comments:
Post a Comment